![Kilimo Biashara](/img/default-banner.jpg)
- 58
- 1 329 131
Kilimo Biashara
Tanzania
Приєднався 12 лют 2016
www.kilimobiashara.co.tz
This is a television program broadcasted through Swahili language aimed to facilitate agricultural growth and reduce the unemployed population. It links youth and farmers to potential markets and aimed at tracking the value chain from the farmer to the final consumer of the specific crop and distribution. The program will cover all crops which are cultivated and livestock in all regions in Tanzania because most people are not aware of the positive impacts of some potential crops that could change their lives. Youth account more than 70% of the population in Tanzania.
This is a television program broadcasted through Swahili language aimed to facilitate agricultural growth and reduce the unemployed population. It links youth and farmers to potential markets and aimed at tracking the value chain from the farmer to the final consumer of the specific crop and distribution. The program will cover all crops which are cultivated and livestock in all regions in Tanzania because most people are not aware of the positive impacts of some potential crops that could change their lives. Youth account more than 70% of the population in Tanzania.
UKITAKA MALI, UTAIPATA SHAMBANI
Dickson ni mkulima wa nyanya,
Mahitaji ya nyanya sokoni ni Kila siku, hivyo mkulima ni muhimu awe anazalisha nyanya muda wote.kijana huyu alipata vifaa ya umwagiliaji kwa matone kutoka FAO ambayo vimemsaidia kuendelea na uzalishaji hata kipindi cha kiangazi.Pia,benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania(TADB) imemsaidia katika kufikia malengo yake..
Mahitaji ya nyanya sokoni ni Kila siku, hivyo mkulima ni muhimu awe anazalisha nyanya muda wote.kijana huyu alipata vifaa ya umwagiliaji kwa matone kutoka FAO ambayo vimemsaidia kuendelea na uzalishaji hata kipindi cha kiangazi.Pia,benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania(TADB) imemsaidia katika kufikia malengo yake..
Переглядів: 4 629
Відео
SEA CUCUMBER FARMING
Переглядів 12 тис.4 роки тому
The Holothuria scabra species of sea cucumbers may not be pretty, but they are lucrative. Depending on quality, this grey filter feeder currently earns farmers up to USD 100 per kilogram once dried. They are in hot demand on the Asian market because with increasing pollution in East Asia’s shallow waters, local sea cucumbers are diminishing. Consequently, China is looking to import these delica...
VIAZI MVIRINGO (CHIPS RECODA ENGLISH CAPTION)
Переглядів 1,7 тис.4 роки тому
Tanzania is one of the top five (Malawi, South Africa, Rwanda, Nigeria and Tanzania) producers and consumers of potatoes and potato products in Sub-Saharan Africa. In the areas of Tanzania where they are grown, potatoes are among the leading cash crops for smallholder farmers. For example, over 80% of the potatoes grown are sold for cash income (compared to 40 -50% for beans, maize and rice) (M...
KILIMO HIMILIVU (The Building Capacity for Resilient Food Security Project in Tanzania)
Переглядів 8684 роки тому
Video ya mradi wa Kujenga Uwezo katika Kilimo Himilivu kwa Mabadiliko ya Tabianchi #Kilimo Himilivu (The Building Capacity for Resilient Food Security Project in Tanzania). Mradi wa Kujenga Uwezo katika Kilimo Himilivu kwa Mabadiliko ya Tabianchi nchini Tanzania unafadhiliwa na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kwa kushirikiana na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (URT), kupit...
Stori ya Ruth
Переглядів 2,2 тис.4 роки тому
Ruth 27, badala ya kutumia fedha 200,000/= aliyopewa na wazazi wake kwa ajili ya mahafali ya chuo akaamua kuanzisha ufugaji kuku na mpaka sasa ana kuku 500 wenye thamani ya Tsh. 3,200,000/=. "Ukitaka mali utaipata shambani"
KILIMO CHA VIAZI MVIRINGO
Переглядів 27 тис.5 років тому
Kwa sasa kuna msukumo mkubwa wa uzalishaji hasa ukizingatia ongezeko la walaji katika miji inayokua kwa kasi. Kwa sababu hiyo viazi mviringo ni zao muhimu la biashara na pia kwa ajili ya usalama wa chakula nchini. Kilimo Trust kwa kushirikiana na wadau wanatekeleza mradi wa CHIPS unaofadhiliwa na Comic Relief(rilifu) unaolenga kuongeza kipato kwa kaya zinazojishughulisha na kilimo na biashara y...
KILIMO CHA MPUNGA IRINGA II
Переглядів 8 тис.5 років тому
Mradi wa RICE unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya ni moja ya jitihada za kupunguza changamoto ya upotevu wa mazao baada ya kilimo. Mradi huu unatekelezwa na Shirika la Chakula na Kilimo duniani (FAO) likishirikiana na serikali, halmashauri ya wilaya ya Iringa na Taasisi ya Maendeleo vijijini na Mijini (RUDI). Lengo Kuu la mradi ni Kupunguza umaskini vijijini kupitia kuboresha ushindani wa wakulima ...
KILIMO CHA MAHINDI
Переглядів 49 тис.5 років тому
Mahindi ni chakula kikuu katika nchi nyingi Africa ikiwemo Tanzania, mahindi ni lishe kuu kwa zaidi ya asilimia 50 ya watu, mahindi yana virutubisho vingi sana ikiwemo wanga, vitamin B, protini na madini, ambapo ni muhimu sana kwa afya zetu, mahindi huliwa kama ugali, japo wengine pia hupenedelea kula kama mahindi ya kuchoma Mradi wa kuboresha myororo wa thamani katika zao la mahindi Tanzania u...
SYSTEM OF RICE INTENSIFICATION TRANSFORMING LIVES IN TANZANIA
Переглядів 3,3 тис.5 років тому
Rice production in United Republic of Tanzania is increasingly becoming important to the national economy. It is among the major sources of employment and income for many farming households. Rice is mainly produced by small-scale farmers. While Tanzania meets 98% of its own rice demand, rice productivity in the country is low. This is mainly aggravated by the impacts of climate change, inadequa...
KILIMO CHA MPUNGA (SHADIDI)
Переглядів 38 тис.5 років тому
Kilimo shadidi cha mpunga kimekua mbinu pekee yenye tija kwa wakulima wa mpunga Tanzania na kubadili maisha yao kiuchumi, Tazama namna maisha yao yalivyo badilika. Makala hii imeandaliwa kwa ushirikiano wa karibu na shirika la FAO
RICE PROJECT IRINGA
Переглядів 8985 років тому
RICE Project Reduce post-harvest Losses Improve practices Competiveness in market Enhance Livelihoods Post-harvest Management for Competitiveness Iringa District The RICE project is funded by the European Union and implemented by the Food and Agriculture Organization of the United Nations (FAO) in collaboration with Iringa District and the Rural Urban Development Initiative (RUDI).
RICE POST HARVEST MANAGEMENT FOR COMPETITIVENESS
Переглядів 8 тис.5 років тому
Kuzuia upotevu wa mazao baada ya kilimo , kuanzia uvunaji mpaka kuongeza thamani na kupata bei nzuri ya mazao. Makala hii imeandaliwa kwa ushirikiano na shirika la chakula duniani FAO, ikiangazia mradi wa RICE unaotekelezwa na FAO, Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Kilimo na RUDI kwa ufhadhili wa umoja wa ulaya "EUROPEAN UNION"
HYBRID SUNFLOWER SEEDS PERFORMANCE IN TANZANIA
Переглядів 32 тис.6 років тому
HYBRID SUNFLOWER SEEDS PERFORMANCE IN TANZANIA
SYSTEM OF RICE INTENSIFICATION TRANSFORMING LIVES IN TANZANIA
Переглядів 6246 років тому
SYSTEM OF RICE INTENSIFICATION TRANSFORMING LIVES IN TANZANIA
Naomba namba hili nipate ushari zaidi
Mtu akitaka kuwatembelea inaruhusiwa?
Naomba namba ya mtaalam wa kilimo wa mkongo
Uko wapi mkulima
Mpaka leo wanaleta kaka.
mm naitaji kujifunza
Hongera unaweza ukaaongeza ujuzi wako kutoka kwangu @Kilimo uwekezaji channel buree kabisa nitakufundisha maeneo gani ya kuwekeza na kupata faida nzuri
Bonjour, comment obtenir la graine pour la planter
Kahamia kwenye parachichi huyo
No zeni please
Asante Sana Lakini nahitaji mbegu nafanyaje
Nguzo inayotakiwa ni urefu wa futi ngapi
Uko vizuri sana dada
Tunaomba contract ili tufike kujifunza
Kwasasa vinapatikana wapi?
Nyie watu siasa mnaweka mbele sana kuliko elimu halisi kwa mkulima
Naomba kuunganishwa na hili group jaman
Habar mkoa wa shin,yanga mbegu ip inahimili hali za mkoa huo
Mko vizuri
Nahitaji kuanza kulima viruguu nianzie wapi? Na ni mbegu gani bora ya vitunguu
Naomba namba
Ok
Mbona mbegu hamsemi mlio tumio
Nitapata wapi mayai ya kienyeji
Nawezaje kupa bwana shamba
Greenhouse zinatengezezwaje mnaeza tusaidia namba?
Mbegu za njano na nyekundu wapi napata asee na zinaitwaje au kampuni gani?
Naombeni namba zenu
Naomba na mm mnielekeze
Good
Mbona mnasema kilo za mafuta! Semeni litres!!!!!!!!
mbona hamtoi namna yakulima mpunga mnatuonyesha historia za watu tu Documentary inatakiwa ijae action sio maneno jaman Izi documentary za maneno uwa hazivutii
Nimefurahi sana kwa elimu hii japo kidogo Napenda kujifunza zaidi juu ya kilimo hai, je napataje hayo majarida?
Nikitaka ngombe napataje
Mko wp nina shamba la mtiki natk niuze
wapi naweza pata mbegu hii
Asante kwa elimu na mimi naomba kufundishwa elimu hii ya kilimo hai
Pol temble kamali/kubet
Khams. Ntakupat wap
Naipend kaz hiy
Naomba namba zenuu
Gharama ya kulimia
kilima Cha mahindi
I want to know more information please.
Hekari moja inatoa kiasi gani cha maindi
naweza kupata namba zetu ilikupata vifaranga
simlete huku kilindi jamani
Soko la pilipili hoho za njano liko wap na likoje
Kipindi kizuri, lkn mfugaji kama huyu , pamoja na kwamba ni mfano wa kuigwa, ila. Siyo asilimia 100. Kwanza anaposema kuongeza thamani, yeye namkumbukq alikwisha wahi , kuanzisha butchery ya nyama, lakini alishindwa kumudu sokoni. Kwa hiyo tukumbuke hawa walimu, wanajua kuongea ti. Lkn siyo uhalisia, bado ni vigumu wadau
Wow what a good project
Ahsanteni sana kwa kipindi kizuri inapendeza sana. Huyu Bwana Shukrani Biseko anapatikanaje?